a
Kut 1:14
;
5:7
;
Yer 43:9
;
Isa 9:10
;
Amo 5:11
;
Mwa 14:10
Genesis 11:3
3
a
Wakasemezana wao kwa wao, “Njooni, tufyatue matofali na tuyachome vizuri kwa moto.” Walitumia matofali badala ya mawe, na lami kwa ajili ya kushikamanishia hayo matofali.
Copyright information for
SwhNEN